Header Ads

Maswa - Simiyu walia na adha ya maji. Nini mpango wa Serikali juu ya hawa watu?

Akina mama wakichota maji kama unavyoona

Wilaya ya Maswa inayopatikana mkoani simiyu nchini Tanzania inakabiliwa na tatizo sugu la ukosefu wa maji kutokana na kukauka kwa Bwawa la Zanzui. Wananchi hulazimika kuchimba popote wanapohisi wanaweza kuyapata maji, hali ambayo pia inachangia uharibifu wa mazingira. Fuatilia picha hapo chini.

Mama akiwa kwenye sehemu ya kuchota maji. 

Sehemu ya watu kuchota maji, na hayo ndiyo maji wanayotumia 

Hili ndilo bwawa la Zanzui lililokauka na kuchagia adha kubwa kwa wakazi hawa.  

Wakazi wakiwa wanasubili kuchota maji kwenye foreni

Mwananchi akichota maji kwa shida

Sehemu ya kuchota maji iliyochimbwa
 



No comments: