HomeHabariKitaifaDar es Salaam: Hoteli kubwa yafungwa kwa kudaiwa kodi zaidi ya Bilioni 5
Dar es Salaam: Hoteli kubwa yafungwa kwa kudaiwa kodi zaidi ya Bilioni 5
Hoteli ya Blue Pearl iliyopo Ubungo imefungwa kutokana na kudaiwa kodi ya zaidi ya shilingi Bilion 5.7 na kampuni ya Ubungo Plaza Limited jijini Dar es Salaam.
Hatua hii inakuja baada ya mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) kuendelea kuzisakama taasisi zote na makampuni yote yanayokwepa ulipaji wa kodi hapa nchini.
Dar es Salaam: Hoteli kubwa yafungwa kwa kudaiwa kodi zaidi ya Bilioni 5
Reviewed by Habari
on
Thursday, November 09, 2017
Rating: 5
No comments:
Post a Comment