Dar es Salaam: Hoteli kubwa yafungwa kwa kudaiwa kodi zaidi ya Bilioni 5
Hatua hii inakuja baada ya mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) kuendelea kuzisakama taasisi zote na makampuni yote yanayokwepa ulipaji wa kodi hapa nchini.
Reviewed by Habari
on
Thursday, November 09, 2017
Rating: 5
No comments:
Post a Comment