Header Ads

Mwandishi mkuu wa gazeti la Daily News, Bi Rose Athumani afariki dunia.

Bi Athuman alifariki katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dar es Salaam, ambako alikuwa akipatiwa matibabu baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Familia ya Bi Rose Athuman ilitoa habari hizi za kusikitisha siku ya Alhamisi asubuhi na mipango ya kuzika kwake ilikuwa bado inaendelea.

Bi Rose Athumani akiwa katika majukumu enzi za uhai wake. 



Mhariri mwandamizi wa gazeti la Daily News, Leonard Mwakalebela alisema kuwa gazeti hili limepoteza mfanyakazi mwenye bidii na nidhamu  katika kazi.

"Tumekuwa na majonzi na kushangazwa kwa kifo Rose ... ameacha  pengo si tu kwa kampuni, lakini pia sekta ya vyombo vya habari kwa ujumla," Bw Mwakalebela aliongeza"

No comments: