Taarifa ya ufafanuzi namna ya kuripoti kwa walioitwa kazini idara ya afya.
Kwa walioitwa kazini idara hiyo ya afya wamegawanyika katika makundi mawili;
1. Kundi la kwanza ni la watu 30 ambao wameitwa wizara ya Afya na wanatakiwa kuripoti Makao Makuu ya Wizara ya Afya Dodoma.
2. Kundi la pili ni la watu 2058 ambao wao wanatakiwa kuripoti katika mikoa na halmashauri mbalimbali walizopangiwa.
Kupata majina yao GUSA HAPA KUSOMA MAJINA HAYO
Majina ya wale 30 wanaotakiwa kuripoti Makao Makuu ya Wizara ya Afya Dodoma, na maelekezo mengine kwa wote GUSA HAPA
KALUNDE BLOG INAWATAKIA KILA LA KHERI KATIKA MAJUKUMU YENU KAMA TAALUMA YENU INAVYOELEKEZA.
KURUDI MENU KUU KWA HABARI ZINGINE GUSA HAPA
No comments:
Post a Comment