JESHI LA POLISI TANZANIA LATOA UFAFANUZI ZAIDI JUU YA TAALUMA ZINAZOHITAJIKA KWA AJIRA 1500. TAALUMA HIZO ZIMEORODHESHWA HAPA CLICK
Jeshi la polisi Tanzania linatangaza nafasi mbalimbali za ajira kwa mwaka wa Fedha 2017/2018 kwa vijana waliopo katika kambi za JKT/JKU ambao wamemaliza mafunzo ya awali katika Operesheni Kikwete na Operesheni Magufuli na wenye elimu ya kidato cha nne, sita, Astashahada, Stashahada, Stashahada ya juu na Shahada katika fani mbalimbali.
Kujua sifa mbalimbali kwa waombaji bonyeza kiambatanisho hapo chini.
GUSA HAPA KUPAKUA PDF YENYE SIFA ZA WANAOHITAJIKA.
TAALUMA ZINAZOHITAJIKA GUSA HAPA KUPAKUA PDF
GUSA HAPA KUPAKUA PDF YENYE SIFA ZA WANAOHITAJIKA.
TAALUMA ZINAZOHITAJIKA GUSA HAPA KUPAKUA PDF

No comments:
Post a Comment