VODACOM PREMIER LEAGUE
Baada ya watani wa jadi kutoshana nguvu katika mechi iliyovuta hisia za mashabiki wengi kama ilivyo kawaida, huo hapo ndio msimamo. Hata hivyo Simba bado inaongoza ligi kwa faida ya magoli mengi iliyo nayo hadi sasa.
Baada ya mechi za jana Jumamosi, huu hapa ndio simamo wa ligi kuu Tanzania Bara.
Reviewed by
Habari
on
Monday, October 30, 2017
Rating:
5
No comments:
Post a Comment