Nahodha wa Taifa Stars na KRC Genk ya Ubeligiji, Mbwana Samatta amesema anashukuru Mungu anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa oparesheni.
Aidha amewashukuru madaktari, washabiki wake pamoja na wote waliomuombea dua njema.
KALUNDE BLOG inamtakia afya njema ili arudi kuipeperusha bendera ya Tanzania
No comments:
Post a Comment