Header Ads

TAARIFA NJEMA KUTOKA TANESCO KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM



SHIRIKA LA UGAVI WA UMEME TANZANIA (TANESCO)


TAARIFA KWA UMMA

Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa wilaya ya TANESCO Tegeta, huduma ya umeme katika laini ya TG5 imerejea saa 06:20 mchana huu tarehe 04/11/2017.

JITIHADA ZINAZOENDELEA

Mafundi wa Shirika wanafanya jitihada kufuatilia chanzo cha hitilafu na kuhakikikiha huduma ya umeme inerejea maeneo yote ambayo bado hayajapata umeme ikiwamo, Mivumoni, Kulangwa, Malobo na Atlas Schools.

Shirika linaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya uliokatika au kuanguka.

Toa taarifa kupitia namba za simu zifuatazo

Kituo cha miito ya simu Makao Makuu 0222194400 na 0768 985100
Tovuti: www.tanesco.co.tz
Mitandao ya Kijamiiwww.facebook/tanescoyetultd /twitter.com/tanescoyetu

Imetolewa na:- 
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
04/11/2017

No comments: