Header Ads

TANGAZO LA MUHIMU KWA WANACHAMA WA ACT WAZALENDO

ACT WAZALENDO
MKUTANO WA CHAMA 



TAARIFA KWA WAANDISHI

Kutokana na madhila  mbali mbali yanayowakabili viongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo kwa sasa,Kesho Jumapili Novemba 5/2017,Mwenyekiti wa Chama Taifa ndugu Yeremia Maganja ataongea na waandishi wa habari juu ya masuala hayo
Wapi:Makao Makuu ya ACT Wazalendo yaliyopo Sayansi Kijitonyama jirani na Kanisa la KKKT
MUDA:Saa tano kamili(5:00)asubuhi.
Muhimu kuwahi muda na chama kitalinda muda wa waandishi
Karibuni wote

Abdallah Khamis 
Afisa Habari ACT Wazalendo
Imetolewa leo Jumamosi Novemba 4/2017

No comments: