Header Ads

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI PTF, NHIF, TAFIRI, NCT & ARDHI UNIVERSITY. GUSA HAPA


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 
OFISI YA RAIS 
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA 
Kumb. Na EA.7/96/01/J/117
 06 Aprili, 2018 
TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI 


Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF), Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI), Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) na Chuo Kikuu cha Ardhi, anatarajia kuendesha usaili na 
hatimaye kuwapangia vituo vya kazi, waombaji kazi watakaofaulu usaili. 

Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:

No comments: