HomeKimataifaSiasaHuyu ndiye Rais wa Mauritius aliyekataa kujiuzulu. Kwa nini? Soma hapa
Huyu ndiye Rais wa Mauritius aliyekataa kujiuzulu. Kwa nini? Soma hapa
Rais wa Mauritius Ameenah Gurib-Fakim amekataa kujiuzulu, akiapa kupambana na madai ambayo yamemtumbukiza katika kashifa kubwa la kifedha. Gurib-Fakim, Rais huyo pekee mwanamke barani Afrika, anatuhumiwa kwa kutumia kadi ya benki aliyopewa na shirika moja lisilo la kiserikali kujinunulia bidhaa na kulipia huduma.
Huyu ndiye Rais wa Mauritius aliyekataa kujiuzulu. Kwa nini? Soma hapa
Reviewed by Habari
on
Wednesday, March 14, 2018
Rating: 5
No comments:
Post a Comment