TAMISEMI: AJIRA ZA WALIMU WAPYA WA SEKONDARI WALIOAJIRIWA MACHI, 2018 KUJAZA NAFASI YA WALIOSHINDWA KURIPOTI MWAKA JANA. CLICK HAPA
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUJAZA NAFASI ZA WALIMU WA
AJIRA MPYA SHULE ZA SEKONDARI AMBAO WALIPANGIWA VITUO MWEZI DESEMBA,
2017 NA HAWAKURIPOTI
Mwezi Desemba mwaka jana (2017) TAMISEMI ilitangaza nafasi za ajira kwa walimu wa sekondari, aidha ilitoa tarehe ya mwisho kuripoti kazini lakini walimu hao HAWAKURIPOTI kwa muda uliopanga. Kwa hiyo serikali imeamua kuajiri walimu wapya wa sekondari ili kujaza nafasi hizo.
KUPATA MAJINA HAYO, CLICK HAPA KUPAKUA PDF YENYE MAJINA
WALIOPATA AJIRA IDARA YA MSINGI CLICK HAPA
KUSOMA TAARIFA KAMILI KUHUSU AJIRA KUTOKA TAMISEMI CLICK HAPA
WALIOPATA AJIRA IDARA YA MSINGI CLICK HAPA
KUSOMA TAARIFA KAMILI KUHUSU AJIRA KUTOKA TAMISEMI CLICK HAPA
No comments:
Post a Comment